Monday, November 14, 2011
Tamasha kubwa la Str8 Music limefanyika mjini Dodoma usiku wa kuamkia leo kama anavyoonekana msanii Nameless kutoka Nchini Kenya akifanya Show kali iliyowavutia Wadau wengi kwenye Tamasha la STR8 MUZIK Inter College Special katika Viwanja vya Royal Village na kuhudhuriwa na wapenzi kibao wa muziki. PICHA ZOTE NA JOSEPHAT LUKAZA WA LUKAZA BLOG
Msanii Barnaba akifanya show katika tamsha la STR8 MUZIK INTER COLLEGE SPECIAL 2011 katika Viwanja vya Royal Village
Walimbwende wakiserebuka ngoma za Juma Nature aka Kibra wakati alipopanda jukwaani
Mashabiki wakiwa wamefurika kwenye viwanja vya Royal Village mjini Dodoma usiku wa kuamkia leo

0 comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Blog Archive

CONTACT US

Lukata Willy,
BK,
Houston TX,
U.S.A

Tel:
832-859-6047
E-Mail:
lukatawilly@ymail.com
http://angrybirdsgamer.com

Total Pageviews

NEW EAST AFRICA SONG



Lukata Willy

Lukata Willy
ITS NOT WHAT YOU HAVE IN YOUR LIVE, BUT WHO YOU HAVE IN YOUR LIFE THAT COUNTS

FOLLOWER US ON

BONGOFLAVA

Like Us on Facebook

COUNTRY VISIT MY WEB

Home

Create by Bongotrack. Powered by Blogger.

BLOG FANS