tag:blogger.com,1999:blog-7166469193872605832024-03-05T19:33:27.324-08:00BONGOTRACKAnonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.comBlogger156125tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-74024320141867847772012-06-22T12:44:00.000-07:002012-06-22T12:44:39.791-07:00Hussein Machozi afikiria kuhamia Kenya kimoja<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img height="640" src="http://2.bp.blogspot.com/-e7K3RPQ-x0w/T-RBSaQpPhI/AAAAAAAAEGA/RasCYuVANn8/s640/Hussein-2.jpg" width="424" />
</div>
Mwanamuziki wa Tanzania aliyetamba na vibao kama ‘Kwaaajili Yako’ na ‘Full Shangwe’ Hussein Machozi, amesema anafikiria kuhamia kabisa Kenya kwakuwa anahisi muziki wake unathaminiwa zaidi huko kuliko nyumbani.
Akijibu swali la Bongo5 lililotaka kufahamu kama ana mpango huo kwakuwa ni muda mrefu sana sasa amekuwa akiutumia nchini Kenya kuliko Tanzania, Machozi alisema,”Yap naona pananifaa sana kwa muziki wangu ambao hauna unafiki si unajua watu wa huku sio wanafiki.”
Kwanini anasema Tanzania kuna unafiki? “Okay, watu wa media hawako free kabisa yaani huwa wanafuata upepo wanapoanzisha wale wenye nguvu. Yaani wakitaka kumtoa mtu wao na media zingine zinafuata wala hawashtuki kuwa analazimishwa atoke, wakati kuna ngoma kibao kali wanazipotezea ili mtu wao apite. Matokeo yake wanatoaga ngoma moja inahit baada ya hapo ni pumba tupu. Huwa inaniuma sana.”
“Kwa kenya mambo hayo hakunaga asee! Huku kama ngoma ni kali basi itatandikwa hadi noma, ila kama ni mbaya huwezi hata kuiskia. Nakubalika huku coz ngoma zangu ni kali na zina kichwa na miguu namaanisha wimbo uko na story ya kufuatilia na inaskilizika na rika zote, nadhani hii ni sababu tosha sana,” alisema Machozi.
Msanii huyo tayari ameshafanya ngoma na wasanii wa Kenya wakiwemo Habida,Size 8 na DNA.Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-90413311168246669702012-06-22T12:27:00.002-07:002012-06-22T12:27:53.872-07:00DOGO JANJA ARUDI BONGO KWA KISHINDO>>><div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjMJcdStwSdd4Fr9m-eMJDCa8TrOCjaV6tPB9WfJ-iyo3p2AqGvzf86kPJg-di8mda8qksZJm2NWhLLnEvdgCBCsmQbQYAC9XHugIeBWftMyaNUgtnwRporUwTChZertuq1ijdvAE2St92_/s1600/599167_225844764203239_964090357_n.jpg" />
</div>
Picha zaidi ingia hapa <a href="http://millardayo.com/">http://millardayo.com/</a><br />
<br />
Dogo Janja ambae alisema amefurahishwa na hayo mapokezi na kusisitiza kwamba japo aliapa hatorudi kuja kusoma Dar wazazi wake wamemsihi kwamba zile zilikua hasira tu hivyo arudi Dar na aedelee na masomo kitu ambacho amekikubali kwa roho safi.<br />
<br />
Janja amesema bado hajasaini mkataba mpya na WATANASHATI lakini kuna watu wake wawili anaowasubiri kwa ajili ya kuja kuupitia pamoja huo mkataba, baada ya hapo ndio atasaini kama amekubaliana nao na atatangaza.<br />
<br />
Amesema amebadili mawazo na sasa atasoma Dar es salaam katika shule nzuri ambayo aliahidiwa na Ostaz Juma meneja wa Watanashati, atakua anapelekwa shule na kurudishwa nyumbani kwa gari, anachohitaji pia ni kusoma kwenye shule binafsi nzuri na pia swala lake la muziki kuzingatiwa.<br />
<br />
kwenye sentensi nyingine amesema “sasa hivi nitakua naigiza na filamu pia na kina Kitale manake tuko nao kwenye kundi moja la watanashati”
Kwa kumalizia Janja amesema kauli mbiu ya wakati huu imebadilika “kauli mbiu ya wakati nilivyokujaga nilisema nawakalisha matembo sasa hivi nawalaza chali matembo”<br />
<br />
Dogo Janja atasikika kwenye AMPLIFAYA ya CLOUDS FM kuanzia saa moja leo usiku utapata nafasi ya kusikia alichosema na jinsi alivyopokelewa kwa shangwe.</div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-54745143585862676932012-06-16T08:24:00.000-07:002012-06-16T08:24:51.181-07:00AY ft Marco Chali - Party Zone [Official Video]<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="315" src="http://www.youtube.com/embed/xIxAcoExUBE" width="560"></iframe></div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-75098801957383653862012-05-07T16:02:00.000-07:002012-05-07T16:02:05.094-07:00Stamina ft Jux - Alisema {Official HD Video}<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<br /></div>
<object height="480" width="853"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/13MdmzdNzvk?version=3&hl=en_US&rel=0">
</param>
<param name="allowFullScreen" value="true">
</param>
<param name="allowscriptaccess" value="always">
</param>
<embed src="http://www.youtube.com/v/13MdmzdNzvk?version=3&hl=en_US&rel=0" type="application/x-shockwave-flash" width="553" height="380" allowscriptaccess="always" allowfullscreen="true"></embed></object></div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-85136285835125043542012-05-06T21:00:00.000-07:002012-05-06T21:00:47.598-07:00New Video: Black Rhyno ft Saprano - Taking Over (Official HD Video)<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<object height="480" width="853"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/qPrpyLK2-qw?version=3&hl=en_US&rel=0">
</param>
<param name="allowFullScreen" value="true">
</param>
<param name="allowscriptaccess" value="always">
</param>
<embed src="http://www.youtube.com/v/qPrpyLK2-qw?version=3&hl=en_US&rel=0" type="application/x-shockwave-flash" width="553" height="380" allowscriptaccess="always" allowfullscreen="true"></embed></object></div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-28225255483178000932012-05-06T20:57:00.000-07:002012-05-06T20:57:30.761-07:00New Video: BABA LEVO FT. DULLY SYKES & SOPRANO - YALAYALA (Official HD Video)<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<br /></div>
<object style="height: 390px; width: 640px;"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/wtlthXaoVUQ?version=3&feature=player_detailpage">
<param name="allowFullScreen" value="true">
<param name="allowScriptAccess" value="always">
<embed src="http://www.youtube.com/v/wtlthXaoVUQ?version=3&feature=player_detailpage" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="540" height="360"></object></div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-55441433568339338292012-04-18T11:19:00.000-07:002012-04-18T11:19:15.691-07:00NEW TRACK: PAMOJA WE CAN<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img height="289" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj3Tmh9giwhIMakC1w8YpCS32ERzYYDzHCGwjhaz4mgUsD4pRm3Rit0wpAXRpRcPncPp0OP9TZzNAD66Sk8Wg2iDWBTxSk4NpgfiNa98gzh2JS1aOXrIFd6Wq5NpZ4vBuxVrI8jrEu833A3/s640/choka.jpg" width="540" />
</div>
<iframe id="hulkshare-player-embed" name="hulkshare-player-embed" src="http://www.hulkshare.com/embed_mp3.php?fn=w47l9acdop1l&bg=000000&fg=71C90C" scrolling="no" frameborder="0" allowTransparency="true" style="width:100%;height:49px;"></iframe>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-37857789242377978162012-04-17T17:17:00.001-07:002012-04-17T17:17:32.167-07:00NEW VIDEO: AMIN - NI WEWE {Official Video}<object style="height: 390px; width: 640px"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/EFIlLcInQ0A?version=3&feature=player_detailpage"><param name="allowFullScreen" value="true"><param name="allowScriptAccess" value="always"><embed src="http://www.youtube.com/v/EFIlLcInQ0A?version=3&feature=player_detailpage" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="540" height="360"></object>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-16305210432699904992012-04-12T05:45:00.000-07:002012-04-17T16:48:32.690-07:00Africa Yetu - Bubele & Diana<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<object style="height: 390px; width: 540px;"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/0j-Nb9-opI0?version=3&feature=player_detailpage">
<param name="allowFullScreen" value="true">
<param name="allowScriptAccess" value="always">
<embed src="http://www.youtube.com/v/0j-Nb9-opI0?version=3&feature=player_detailpage" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="540" height="360"></object></div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-51316190575111317602012-03-21T22:24:00.000-07:002012-03-21T22:24:20.083-07:00Jos Mtambo Ft. Belle 9 - Naongea na Roho<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img src="http://api.ning.com/files/L4L8w9EiQGDoIuh-9XTX9l*6qQ0ud9uZTvzlwbyshe29Iy28WE5jxFcme2GAfXIKBmA*rdr12P*r0D-DOC03XGOiB3WGt4UH/418570_10150623833414342_676944341_9258305_262071550_n.jpg?width=550" /></div>
<iframe width="100%" height="166" scrolling="no" frameborder="no" src="http://w.soundcloud.com/player/?url=http%3A%2F%2Fapi.soundcloud.com%2Ftracks%2F39617924&show_artwork=true"></iframe>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-89652453588781778482012-03-10T21:24:00.000-08:002012-03-10T21:25:08.299-08:00Brand New Track by Young Chaliz ft Tunda Man - Kidali Pooh prod by Marco Chali<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img height="566" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEixX6fyditaQov9gkaxW16zUPSOT5CMQF40CjnxF4wa7pyrfj7lWsQrwMvXpvCTq0J4rt4XD5hqJWxer5qDOLI5VuoD-UShcjlrJ_FlxqiX_s3EtSMrpup3v0HF2X0DBcDATq0lAVtQtNU/s640/257772_172769409451793_171274409601293_467225_4059577_o.jpg" width="540" />
</div>
<iframe allowtransparency="true" frameborder="0" id="hulkshare-player-embed" name="hulkshare-player-embed" scrolling="no" src="http://www.hulkshare.com/embed_mp3.php?fn=4ovbsig4fqzd&bg=000000&fg=71C90C" style="height: 49px; width: 100%;"></iframe></div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-31683360844306993072012-03-10T21:16:00.002-08:002012-03-10T21:16:56.960-08:00HERE WE GO AGAIN.......SINGLE BUTTON FOR URBAN GENTLE LOOK BY MARTIN KADINDA, MARCH CAMPAIGN FEATURES BONGO FILMS DIVA Wema Abraham Sepetu AS QUEEN OF THE MONTH........ YOU GOT YOURS??<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirhL1LPLZBD0_uiwDqeWNn7TGQfcYNd_jtNjCHOi-uMd66vGgLqJso0WssOu63xryeOnDnx7r0NbbLitueM19eAtMBntjhdhEBkIAza10T5ZqBBHzul6iMH74QK2c824TG2yAdNPyPfwE/s640/martin.jpg" />
</div>
WAS HAPPY MEETING WEMA THIS DAY AGAIN AS AM HER OFFICIAL MANAGER, THEN WE MOVED TO FITTING AND SHOOTING FOR MY NEW CLOTHING LINE CAMPAIGN.. NAPENDA PICAHSO BEFORE KAZI TULIPIGA PICHA KUHAKIKISHA MWANGA UKO SAWA..<br />
<img src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEicrUxCQmIFbRn2VDW6YZd3BIytfVZYLVqlqSBFvUeqrU8ReMlZWvXvZuoq6DLjdNROTCPWuI5QGCq3QBGQiW888bnXnNpfoYU7-KVF-BRQDszkRFxNIDN3WqzZKzTwHai_pq-pTM50MYc/s640/2.jpg" />
<br />
<br /></div>
HATUA YA PILI IKAFUATA KUCHAGUA MOJA YA MAKOTI NINAYOYATENGENEZA ILI KUPATA MOJA LINALOMFAA KULINGANA NA KAMPAINI NINAYOIFANYA KABLA MODELS WENGINE HAWAJAFIKA...<br />
<br />
<img src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhzfD15Dz1Zg_j-ziKOhlwTuSdmJJfh3M2Nlch2lwmiUsqG-fl-skjrlZ1XCu1vytvYfhglLBOCT4bqI41LMNjG_fAI2yizwTDg9N8mSZB5X95g8umxgQyDXGuhGiuiLBcjGO6hdbcKLl8/s640/422812_356026384420131_100000383169261_1115791_1954651573_n.jpg" />
</div>
NA HILI NDIO BANGO (TANGAZO)LA MWEZI HUU KWA CAMPAIGN YA HII DESIGNS YA MAKOTI NINAYOYATENGENZA KWA SASA... JIPATIE LAKO KWA AJILI YA MSIMU HUU WA KUPENDEZA(KILIMANJARO MUSIC AWARDS SI UNAJUA SWALA LA RED CARPET PALE KATI....) NA SINGLE BUTTONS BLAZERAnonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-48735508263721788752012-03-05T19:39:00.001-08:002012-03-05T19:39:50.812-08:00Jaffarai ft Nazizi - Tembea Na Mimi<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img src="http://api.ning.com/files/xye2MbtxzGaWcelIbnIzdGj3tYS6ShEi0b21SAKNhZJG5NtodHuKzf8xd4KLqW2nlIw5rp*uI0iFVV*DIExOqjc*zfgIRJ6x/404498_350414494982244_115878041769225_1241393_232887713_n.jpg" />
</div>
Track Mpya Ya Jaffarai ft Nazizi - Tembea Na Mimi ambayo imefanywa chini ya Prod Lamar na Dunga. <iframe allowtransparency="true" frameborder="0" id="hulkshare-player-embed" name="hulkshare-player-embed" scrolling="no" src="http://www.hulkshare.com/embed_mp3.php?fn=8gvy6cebiiyr&bg=000000&fg=71C90C" style="height: 49px; width: 100%;"></iframe></div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-77732594660696334942012-03-05T19:23:00.002-08:002012-03-05T19:23:28.573-08:00NAFANYA MUZIKI KWA RAHA ZANGU HUKU KENYA SI KAMA BONGO – RAY C…!!<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img src="http://dartalk.com/wp-content/uploads/2012/03/rayc.jpg" />
<br />
<br /></div>
MSANII wa muziki wa kizazi kipya ambaye kwa sasa anafanya kazi hiyo nchini Kenya Rehema Chalamila ‘Ray C’, amesema kuwa anafurahia kuishi nchini humo kwani anafanya muziki kwa raha bila karaha kama bongo.<br />
<br />
Akifanya mahojiano maalumu na DarTalk kwa njia ya mtandao wa kijamii wa facebook, Ray C, alidai kuwa tangu alipofika nchini humo amekuwa akifanya mambo yake kwa umakini mkubwa kuliko alipokuwa Tanzania.<br />
<img src="http://dartalk.com/wp-content/uploads/2012/03/rayc_2.jpg" />
<br />
<b>Ray C katika pose</b><br />
<br />
Alisema kuwa hata hivyo kitu ambacho kinamsukuma endelea kuishi nchini humo ni kutokana na nafasi aliyonayo ya kuweza kujitangaza kimataifa kwani ni nchini ambayo wasanii wake wanafanya muziki unaendana na soko la kimataifa.<br />
<br />
“Muziki wa Kenya huwezi kuufananisha na Tanzania hata wasanii wa huku wako juu sana na wanafanya kazi siyo kutupiana majungu kama baadhi ya wasanii wa Tanzania,” alisema.<br />
<br />
Hata hivyo alipoulizwa ni lini atarudi nchini, alijibu “Dah sifikili kuja Tanzania kwa sasa kwa sababu nina mambo mengi ya kufanya ambayo yanahitaji nitulie kweli ili huko ni nyumbani nitakuja tu,”.</div>
</div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-23405650506053687802012-03-01T04:52:00.000-08:002012-03-01T04:52:18.949-08:00BARNABA ANAMSAKA BINTI WAKUCHEZA KWENYE VIDEO YA MAGUBE GUBE<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgYJ9jvauZd7239Hc7HeIwte1w3EQfNwREk6otCZbhVGHF_0SUIIse-lEYRze9k_0MOgDkOUtXvSDrEI0c1WW8011DDfBp0Cp5r_fJF2RH3ugCTXkYfyZUYStuysPDpwIqS3EtbM7wEyTA/s640/430541_357262004295344_100000346414060_1124173_1765623197_n.jpg" width="427" />
<br />
<br /></div>
JAMANI NATAFUTA BINTI ATAKAE WEZA KUCHEZA NAFASI YA GUBE GUBE UKITAKA KUSHIRIKI KATIKA SHINDANO HILO PIGA NAMBA +255 715 973697 UTAPATA MAELEZO YOTE..........!!!!!</div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-47223757487757240582012-03-01T04:50:00.000-08:002012-03-01T04:50:25.378-08:00Brand New SONG: Rich Mavoko - Follow Me<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img height="387" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjodNKFKa4iv02XQxCOC1s7af6fecRkfhlKMD8k1lU1OhqzXAXkyK6EjYLxxDKb7VvAAUqmF3kJIxvfja2IUmmh7kgVfNToGMeFnLdJ0DUl6iFOYYDdPrqOHV0neVZuwwt2UG8EoGDp6NE/s640/RichMavoko.jpg" width="540" />
</div>
<iframe allowtransparency="true" frameborder="0" id="hulkshare-playa-lite" name="hulkshare-playa-lite" scrolling="no" src="http://www.hulkshare.com/embed_mp3.php?fn=w9hjlyrs8anq&type=2&bg=true&color=71C90C" style="height: 22px; width: 100%;"></iframe></div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-46229359907483149422012-01-13T04:45:00.000-08:002012-01-13T04:45:17.514-08:00AUDIO TRACK: DARASA FT GODZILLA & JOH MAKINI – SIKATI TAMAA REMIX<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img src="http://dartalk.com/wp-content/uploads/2012/01/darasa.jpg" />
<br />
<br /></div>
DARASA FT GODZILLA & JOH MAKINI – SIKATI TAMAA REMIX
<iframe frameborder="0" height="24" marginheight="0" marginwidth="0" scrolling="no" src="http://www.hulkshare.com/embed_mp3.php?fn=mhkgg30qytyl&type=4&skin=omega" width="431"></iframe></div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-89556924546341353132012-01-11T12:27:00.000-08:002012-01-11T12:27:12.624-08:00MAJOTO - FEROUZ (IN MCHIRIKU STYLE)<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img height="740" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2012/01/Ferouz-680x1024.jpg" width="540" /></div>
Wimbo huu nimeupokea siku kadhaa zilizopita.Muda wa kuusikiliza kwa makini nao ukawa haba.Mambo ya mwanzo wa mwaka,kurudi kazini,watoto kurudi shuleni(gharama zake sasa!).Duh,elimu imekuwa bidhaa ya ghali sana.Sijui nichague elimu mtaani?<br />
<br />
Lakini kingine kilichonifanya “niskute” kidogo(niskute neno la zamani hili kiasi,enzi hizo) ni mabadiliko yaliyopo katika wimbo na msanii huyu.Ni kweli kwamba huyu ni Ferouz,yule yule alipitia enzi za kundi maarufu la Daz Nundaz.Ni kipaji au kujaribu soko.Ni kuingia au kutoka.Ni risk.Good or bad.Inategemea na maoni yako wewe msikilizaji.<br />
<br />
Msikilize Ferouz katika wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina Majoto ukiwa katika style ya mchiriku,maarufu kutoka jijini Dar na pembezoni aka Pwani.Nini maoni yako?Kaelekea kuliko au kachemsha?
<br />
<br />
<span style="color: red;"><object allowscriptaccess="always" data="http://kiwi6.com/swf/player.swf" height="24" id="audioplayer" type="application/x-shockwave-flash" width="290">
<param name="movie" value="http://kiwi6.com/swf/player.swf" />
<param name="FlashVars" value="playerID=audioplayer&soundFile=http://k002.kiwi6.com/uploads/hotlink/j6v480jtyc&titles=MAJOTO- FEROUZ.mp3" />
<param name="quality" value="high" />
<param name="menu" value="false" />
<param name="allowscriptaccess" value="always" />
<param name="wmode" value="transparent" />
</object></span></div>
- Song – Majoto<br />
- Artist – Ferouz<br />
- Producer<br />
– Pancho Latino<br />
- Studio – B Hit’z
</div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-7759844220610372032012-01-11T12:06:00.000-08:002012-01-11T12:06:45.119-08:00NA KUACHIWA HURU<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<br />
<div style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;">
<img height="424" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi5G55_wyzRTjUH8BqDAIpj22HiC9P2onUxZjLAtXpqofzg7jLtvGHZ1aHxhlPGXeKd-GeqQmLoC_697fyZF6BIIbJ1uAb7KrdKoH4Tmhj8frqnEMgH0BY8yRLdGOm710PMlLD8E4p5V7_M/s640/Msanii+Diamond+na+wacheza+show+wake+wakiwa+mahakama+ya+Mwanzo+Iringa+kusubiri+hukumu+%2528picha+na+Misanjo+Liviga+Mlalah.jpg" width="540" />
</div>
</div>
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<div style="text-align: center;">
<b>Msanii Diamond na wacheza show wake wakiwa mahakama ya Mwanzo Iringa</b></div>
<div style="text-align: center;">
<b> kusubiri hukumu (picha na Misanjo Liviga Mlalah. </b></div>
<div style="text-align: center;">
<b><span style="font-size: large;">Na Misanjo Livinga Mlalahoi Iringa </span></b></div>
<div style="text-align: center;">
MAMIA wafurika kushuhudia hukumu ya msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini Naseeb Abdul a.k.a Diamond akihukumiwa kifungo cha miezi sita jela au kulipa faini ya shilingi elfu 50.000 kwa kosa la kumshambulia na kuharibu mali za mwandishi wa habari mkoani Iringa Francis Godwin </div>
<div style="text-align: center;">
Hatua hiyo imekuja baada ya msanii Diamond na wacheza shoo wake wawili kukiri kosa mbele ya mahakama yeye na wenzake kwa kuharibu Camera </div>
<div style="text-align: center;">
mbili, Lap top aina ya Accer pamoja na kumshambulia mwanahabari Francis Godwin Desemba 31 mwaka jana katika uwanja wa Samora mjini Iringa. </div>
<div style="text-align: center;">
Akitoa hukumu hiyo hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Hakimu Masua alisema kulingana na watuhumiwa wote watatu kukiri kosa hilo anawahukumu kwenda jela miezi 6 au kulipa fidia ya shilingi elfu hamsini kila mmoja na huku wakilazimika kumlipa Godwin shilingi elfu 30 kila mmoja na kufanya kufikia kiasi cha shilingi 90000 Wakitoa utetezi wao watuhumiwa hao walisema mahakama iwapunguzia adhabu kwa kuwa hawakukusudia kufanya kosa hilo, na wao walikuja mkoani hapa kwa ajili ya kutoa burudani, na kuwa tukio hilo wamelifanya kwa ghadhabu. Mheshimiwa Hakimu ninaomba unipunguzie adhabu licha ya kutenda kosa hilo, kwani nakili kuwa nilipatwa na hasira kama binadamu na kuamua kuchukua uamuzi wa kufanya hayo, mimi sikukusudia kuja Iringa kufanya vurugu bali hali hiyo ilikuja baada ya kupata ghadhabu kama walivyo binadamu wengine,” alisema Diamond. Naye mwanasheria Evaristo Myovela alisema kesi hiyo hakimu ametimiza wajibu wake, huku akimshauri Francis kukata rufaa kama hajaridhika na maamuzi ili kuipeleka kesi hiyo katika Mahakama nyingine kwa kufuata utaratibu wa sheria katika kuchukua maamuzi hayo. Wakati wanahabari wakijadili juu ya hukumu ya Diamond , mara Waziri wa sera na uratibu wa sheria za bunge Willium Lukuvi alikatiza katika mahakama hiyo ndipo wanahabari wakataka kupata mawazo na uelewa zaidi juu ya hukumu hiyo. Hata hivyo Diamond alilipa fidia hiyo na kuachiwa huru licha ya Godwin kuamua kupeleka barua mahakamani ya kuomba nakala ya kesi na 13. ya 2012 kwa ajili ya kukata rufaa</div>
</div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-54960992024528398282011-12-27T09:07:00.000-08:002011-12-27T09:07:31.885-08:00“TAKING OVA”-BLACK RHINO Feat.SOPRANO(BRAND NEW TRACK)<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img height="426" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2011/12/Black-RhinoTaking-Ova.jpg" width="540" />
</div>
Black Rhino au Black Chata,bila shaka bado walikumbuka na kulitambua jina hilo.Nimeanza kwa kusema kwamba bila shaka walikumbuka kwa sababu kwa muda kiasi <b>Black Rhino</b> au jina halisi <b>Nicholaus Haule</b> alikuwa kimya kidogo katika masuala ya muziki.Mwenyewe anasema maisha ilibidi ayaelekezee kwingine kidogo.Akaenda chuoni na kupata wakti wa kuvaa lile joho(la shule ya wakubwa na sio chekechea) na kisha baada ya hapo akaanza “mzigo” kama watu wengine. Kukaa kwake kimya kukatafsiriwa na watu wengine kwamba ndio amekacha muziki au muziki umemkacha.Hapana! He is back and doing what he knows best;good music. Na mara hii,pamoja na elimu aliyonayo,bila shaka hata soko la muziki atakuwa analiangalia tofauti. Juu ya yote,Black Rhino anathibitisha kwamba ukitoka kwenye familia ya muziki,basi muziki kamwe haukuachi na wewe huna jinsi bali kwenda nao sambasamba.Majina mengine kutoka katika familia yake ni kama vile The Heavy Weight MC,Professor Jay,Kolihombi,Simple X na Mr.Teacher.<br />
<br />
Wimbo unaitwa <b>Taking Ova</b>.Umetengenezwa pale <b>Dhahabu Records </b>chini ya Producer anayekuja juu sana anayekwenda kwa jina <b>Mbezi</b>.Sikiliza Taking Ova hapa chini;
</div>
<iframe frameborder="0" height="24" marginheight="0" marginwidth="0" scrolling="no" src="http://www.hulkshare.com/embed_mp3.php?id=5252147&type=4" width="431"></iframe></div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-51523637621070921892011-12-27T09:04:00.000-08:002011-12-27T09:04:39.730-08:00Timbulo - Waleo Wa Kesho (Official Video)<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<object style="height: 390px; width: 640px;"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/FRSBBqfhPXE?version=3&feature=player_detailpage">
<param name="allowFullScreen" value="true">
<param name="allowScriptAccess" value="always">
<embed src="http://www.youtube.com/v/FRSBBqfhPXE?version=3&feature=player_detailpage" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="540" height="360"></object></div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-83369464710667424832011-12-23T09:20:00.000-08:002011-12-23T09:20:34.629-08:00Video Mpya: Dayna ft Barnaba - Nivute Kwako(Official Video)<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<object style="height: 390px; width: 640px;"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/x0hjz6A05J0?version=3&feature=player_profilepage">
<param name="allowFullScreen" value="true">
<param name="allowScriptAccess" value="always">
<embed src="http://www.youtube.com/v/x0hjz6A05J0?version=3&feature=player_profilepage" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="540" height="360"></object></div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-90966716660515094902011-12-23T09:15:00.000-08:002011-12-23T09:17:07.606-08:00“IELEWE MITAA”-FID Q(NEW VIDEO)<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<object height="360" width="540"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/mdj8CXXoFZs&hl=en_US&feature=player_embedded&version=3">
</param>
<param name="allowFullScreen" value="true">
</param>
<param name="allowScriptAccess" value="always">
</param>
<embed src="http://www.youtube.com/v/mdj8CXXoFZs&hl=en_US&feature=player_embedded&version=3" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="540" height="360"></embed></object></div>
Here is the brand new video from Fareed Kubanda aka Fid Q.The song is titled Ielewe Mitaa which in English could easily be translated into Understand The Streets or Know The Hood.Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-57586925434574619382011-12-21T07:02:00.000-08:002011-12-21T07:02:42.683-08:00ORIJINO KOMEDI IMENITOA KIMAISHA – MPOKI…!!<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img src="http://dartalk.com/wp-content/uploads/2011/12/Mpoki.jpg" />
</div>
MCHEKESHAJI wa kundi la Orijino Komedi, <span style="color: red;">Mpoki</span> amefunguka na kusema kuwa fani hiyo imeweza kumtoa kimaisha na anaishukuru kwa sababu ni moja ya kazi ambazo zimeweza kuonesha nyota katika maendeleo yake.<br />
<br />
Alisema kupitia Komedi ameweza kujenga nyumba ya kuishi na kuwa na usafili wake vitu ambavyo awali hakujua kama angeweza kuvipata ingawa malengo yake yalikuwa ni kuja kumiliki vitu hivyo pamoja na kuishi ndani ya nyumba yake.<br />
<br />
Alisema hata hivyo bado anahitaji kutoka zaidi kimaisha ingawa kwa sasa amefakiwa kwa kiasi fulani kitu ambacho kila siku amekuwa akimshukuru mungu kwani kumpa kwani wapo wengine wamekosea.<br />
<br />
“Komedi ni fani ngumu sana kwani kumfanya mtu aliyenuna acheke siyo kitu kidogo hivyo hata tuna magari basi tumshukuru mungu kwani ametupa vipaji kwa malengo yake, lakini naweza kusema kwamba kama mimi nimepewa hiki basi kuna mwingine kapewa kingine ambacho mimi sina,” alisema.<br />
<br />
Mbali na uchekeshaji pia msanii huyo anauwezo mkubwa wa kuimba staili yoyote ikiwemo ya mashairi ambapo wimbo wake unasikika ni ule aliomjibu <span style="color: red;">Mrisho Mpoto</span> wa ‘<span style="color: red;">Shangazi</span>’, huku wa Mpoto ukiwa ni ‘<span style="color: red;">Mjomba</span>’</div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-716646919387260583.post-89969616182198307082011-12-21T07:00:00.000-08:002011-12-21T07:00:20.689-08:00THE FROST PARTY @ SANJEEDA (INDIAN OCEAN) – SAT 31ST DEC…!!<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<img src="http://dartalk.com/wp-content/uploads/2011/12/the_boat.jpg" />
</div>
The Boat that Rocks Party Cruise.<br />
Watch the entire city’s New Year fireworks from the Indian Ocean.<br />
<br />
Venue: Sanjeeda (Indian Ocean)<br />
Date: Sat 31st December<br />
Time: 19:00Hrs – 1:00Hrs<br />
Damage: 90 $ Per Person (Inclusive of Food & Drinks!)<br />
Dress Code: frosty sexy<br />
Tickets available at Indian Ocean Choices Ltd (Slipway)<br />
Info: 0768 000 444</div>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/13559946229542117136noreply@blogger.com0