Saturday, November 26, 2011
Miezi kadhaa nyuma niliwahi kuuliza swali kuhusu nani aliye zaidi katika ya Steven Kanumba na Ray Kigosi.Mashabiki na wafuatiliaji wa Bongo Movies mkatoa ushirikiano mkubwa na kueleza bayana yule ambaye mnadhani ni zaidi ya mwenzake.Mpaka leo hii bado comments kuhusu hoja ile bado zinaendelea.Hiyo,kwa upande mwingine,inaonyesha ni kwa jinsi gani watu zaidi wanafuatilia sanaa ya filamu nchini Tanzania.Ni jambo zuri.
Leo naomba tuhamie kidogo upande wa waigizaji wa kike kwani ni wazi kabisa na wao wanafanya vizuri sana katika kuendeleza fani hii ambayo kwa miongo kadhaa ilipewa kisogo.Mchango wao ni dhahiri.Hapa naomba niwaweke “kikaangoni” Monalisa (Yvonne Cherryl) na Blandina Chagula maarufu kama Johari. Bila shaka umeshawahi kuwaona katika uigizaji wa aina mbalimbali.Endapo ungekuwa na filamu yako na ukawa unatafuta mwigizaji wa kike(lead actress) ungemchagua nani katika ya Monalisa au Johari.Kwa ufupi unadhani nani zaidi kati yao?Kwanini?
Johari
Leo naomba tuhamie kidogo upande wa waigizaji wa kike kwani ni wazi kabisa na wao wanafanya vizuri sana katika kuendeleza fani hii ambayo kwa miongo kadhaa ilipewa kisogo.Mchango wao ni dhahiri.Hapa naomba niwaweke “kikaangoni” Monalisa (Yvonne Cherryl) na Blandina Chagula maarufu kama Johari. Bila shaka umeshawahi kuwaona katika uigizaji wa aina mbalimbali.Endapo ungekuwa na filamu yako na ukawa unatafuta mwigizaji wa kike(lead actress) ungemchagua nani katika ya Monalisa au Johari.Kwa ufupi unadhani nani zaidi kati yao?Kwanini?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Blog Archive
- 2012 (19)
-
2011
(124)
- December(28)
-
November(29)
- Christina Shusho, Bonny Mwaitege, 20%, Glorious Si...
- MONALISA Vs JOHARI:NANI ZAIDI?
- “SABABU YA NJAA”-MIKE TEE Feat.FID Q
- NEW TRACK: KICHWA KINAUMA -TMK WANAUME FAMILY
- Mwanamuziki wa Uganda Jose Chameleone Awarusha Wak...
- AUDIO TRACK: DIAMOND – MAWAZO
- NEW VIDEO: Momba - Mimi Sio Sharobaro [Official Vi...
- New Song: Tiger Eyes- Grind On
- LYRICS: MWANA FA FT LINAH – YALAITI
- DEIWAKA ENT. PRESENTS ANTIVIRUS BURUDANI KWA MASHA...
- THE CRUISE BEACH PARTY....26 NOV....MBALAMWEZI!!
- MBUNGE WA MBEYA MJINI JOSEPH MBILINYI AKA MR. SUGU...
- UZINDUZI WA ALBUM MPYA YA SHETTA @ CLUB BILICANAS ...
- “MBAYUWAYU(NGO,NGO,NGO)”-MARLAW(NEW SONG)
- TAMASHA LA STR8 MUSIC INTER COLLEGE SPECIAL 2011 L...
- BASATA KUUFUNGIA HAKUNAGA WA SUMALEE?!!!!
- ALBUM MPYA YA DIAMOND SASA IPO MADUKANI NCHINI KOT...
- BODA KWA BODA BEACH CONCERT
- NEW TRACK: SQUIZER ft. OMMY DIMPLE "BACHELLAR"
- Brand New Song MwanaFA ft Linah - Yalaiti
- ME WA KITAA by YOUNG SUMA
- MAG: BAABKUBWA NEW ISSUE IS OUT – GRAB YOUR COPY N...
- SUMA LEE & MATONYA LIVE @ NEW MAISHA CLUB – SUN 6T...
- Ay ft Sauti Sol - I don't wanna be alone {Official...
- TWANGA PEPETA FESTIVAL 2011 @ LEADERS CLUB – SUN 6...
- IZZO BIZNESS LIVE @ CLUB BILICANAS – SUN 6TH NOV…!!
- NEW TRACK: Suma Mnazaleti ft Mabeste & Ben Paul - ...
- NEW TRACK: Robby - Mzuka bado
- THURSDAY IS THE NEW FRIDAY @ RUNWAY BAR & LOUNGE –...
- October(38)
- September(26)
- January(3)
- 2010 (13)
CONTACT US
Lukata Willy,
BK,
Houston TX,
U.S.A
Tel:
832-859-6047
E-Mail:
lukatawilly@ymail.com
Total Pageviews
NEW EAST AFRICA SONG
Lukata Willy
BONGOFLAVA
Like Us on Facebook
COUNTRY VISIT MY WEB
Home
Create by Bongotrack. Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment