Saturday, November 26, 2011
Miezi kadhaa nyuma niliwahi kuuliza swali kuhusu nani aliye zaidi katika ya Steven Kanumba na Ray Kigosi.Mashabiki na wafuatiliaji wa Bongo Movies mkatoa ushirikiano mkubwa na kueleza bayana yule ambaye mnadhani ni zaidi ya mwenzake.Mpaka leo hii bado comments kuhusu hoja ile bado zinaendelea.Hiyo,kwa upande mwingine,inaonyesha ni kwa jinsi gani watu zaidi wanafuatilia sanaa ya filamu nchini Tanzania.Ni jambo zuri.

 Leo naomba tuhamie kidogo upande wa waigizaji wa kike kwani ni wazi kabisa na wao wanafanya vizuri sana katika kuendeleza fani hii ambayo kwa miongo kadhaa ilipewa kisogo.Mchango wao ni dhahiri.Hapa naomba niwaweke “kikaangoni” Monalisa (Yvonne Cherryl) na Blandina Chagula maarufu kama Johari. Bila shaka umeshawahi kuwaona katika uigizaji wa aina mbalimbali.Endapo ungekuwa na filamu yako na ukawa unatafuta mwigizaji wa kike(lead actress) ungemchagua nani katika ya Monalisa au Johari.Kwa ufupi unadhani nani zaidi kati yao?Kwanini?



                                             Johari

                                 MONALISA

0 comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Blog Archive

CONTACT US

Lukata Willy,
BK,
Houston TX,
U.S.A

Tel:
832-859-6047
E-Mail:
lukatawilly@ymail.com
http://angrybirdsgamer.com

Total Pageviews

NEW EAST AFRICA SONG



Lukata Willy

Lukata Willy
ITS NOT WHAT YOU HAVE IN YOUR LIVE, BUT WHO YOU HAVE IN YOUR LIFE THAT COUNTS

FOLLOWER US ON

BONGOFLAVA

Like Us on Facebook

COUNTRY VISIT MY WEB

Home

Create by Bongotrack. Powered by Blogger.

BLOG FANS