Monday, November 14, 2011
Baada ya vichwa vya magazeti kadhaa ya bongo kuandika kwamba BARAZA LA SANAA TANZANIA (BASATA) limetangaza kuufungia wimbo wa HAKUNAGA wa SUMALEE, katibu mkuu wa Baraza hilo amezungumza katika EXCLUSIVE na millardayo.com

 Gonche Materego amesema baraza hilo mpaka sasa hivi HALIJAUFUNGIA wimbo huo, lakini limekua na majadiliano makubwa kuhusiana na nyimbo nyingi za wasanii wa Tanzania ambazo tungo zake ZINAHARIBU lugha ya kiswahili ambapo HAKUNAGA ndio uliozungumziwa sana kama MFANO kwa sababu kiswahili kilichotumika ndani yake SIO SAHIHI.

 Materego amesema wimbo huo ulizungumziwa saaaaana, na hata watu wengine wa kawaida ambao hawafanyi kazi na BASATA walisema kwamba UNAPOTOSHA KISWAHILI na kwa vile wasanii ni walimu wakuu wa kiswahili ni rahisi sana watu wa kawaida kutumia lugha za wasanii wakidhani kuwa ni sahihi lakini sio.

 “wenzetu wa baraza la kiswahili wameona kuna haja ya kukaa na kujadiliana kuhusiana na tatizo la kiswahili kuharibiwa kwenye nyimbo za wasanii, tutakutana na wasanii tusikie wanachokisema na wananchi pia wasiki ili tupate michango mizuri zaidi kabla hatujakaa BASATA na BAKITA kuandaa mipango zaidi” ameamplfy Materego. hiyo ndio story kutoka BASATA na BAKITA! nipe maoni yako kuhusiana na unachofikiria………?! Habari na millardayo.com

0 comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Blog Archive

CONTACT US

Lukata Willy,
BK,
Houston TX,
U.S.A

Tel:
832-859-6047
E-Mail:
lukatawilly@ymail.com
http://angrybirdsgamer.com

Total Pageviews

NEW EAST AFRICA SONG



Lukata Willy

Lukata Willy
ITS NOT WHAT YOU HAVE IN YOUR LIVE, BUT WHO YOU HAVE IN YOUR LIFE THAT COUNTS

FOLLOWER US ON

BONGOFLAVA

Like Us on Facebook

COUNTRY VISIT MY WEB

Home

Create by Bongotrack. Powered by Blogger.

BLOG FANS