Tuesday, December 27, 2011
Black Rhino au Black Chata,bila shaka bado walikumbuka na kulitambua jina hilo.Nimeanza kwa kusema kwamba bila shaka walikumbuka kwa sababu kwa muda kiasi Black Rhino au jina halisi Nicholaus Haule alikuwa kimya kidogo katika masuala ya muziki.Mwenyewe anasema maisha ilibidi ayaelekezee kwingine kidogo.Akaenda chuoni na kupata wakti wa kuvaa lile joho(la shule ya wakubwa na sio chekechea) na kisha baada ya hapo akaanza “mzigo” kama watu wengine. Kukaa kwake kimya kukatafsiriwa na watu wengine kwamba ndio amekacha muziki au muziki umemkacha.Hapana! He is back and doing what he knows best;good music. Na mara hii,pamoja na elimu aliyonayo,bila shaka hata soko la muziki atakuwa analiangalia tofauti. Juu ya yote,Black Rhino anathibitisha kwamba ukitoka kwenye familia ya muziki,basi muziki kamwe haukuachi na wewe huna jinsi bali kwenda nao sambasamba.Majina mengine kutoka katika familia yake ni kama vile The Heavy Weight MC,Professor Jay,Kolihombi,Simple X na Mr.Teacher.

 Wimbo unaitwa Taking Ova.Umetengenezwa pale Dhahabu Records chini ya Producer anayekuja juu sana anayekwenda kwa jina Mbezi.Sikiliza Taking Ova hapa chini;
Friday, December 23, 2011
Here is the brand new video from Fareed Kubanda aka Fid Q.The song is titled Ielewe Mitaa which in English could easily be translated into Understand The Streets or Know The Hood.
Wednesday, December 21, 2011
MCHEKESHAJI wa kundi la Orijino Komedi, Mpoki amefunguka na kusema kuwa fani hiyo imeweza kumtoa kimaisha na anaishukuru kwa sababu ni moja ya kazi ambazo zimeweza kuonesha nyota katika maendeleo yake.

 Alisema kupitia Komedi ameweza kujenga nyumba ya kuishi na kuwa na usafili wake vitu ambavyo awali hakujua kama angeweza kuvipata ingawa malengo yake yalikuwa ni kuja kumiliki vitu hivyo pamoja na kuishi ndani ya nyumba yake.

 Alisema hata hivyo bado anahitaji kutoka zaidi kimaisha ingawa kwa sasa amefakiwa kwa kiasi fulani kitu ambacho kila siku amekuwa akimshukuru mungu kwani kumpa kwani wapo wengine wamekosea.

 “Komedi ni fani ngumu sana kwani kumfanya mtu aliyenuna acheke siyo kitu kidogo hivyo hata tuna magari basi tumshukuru mungu kwani ametupa vipaji kwa malengo yake, lakini naweza kusema kwamba kama mimi nimepewa hiki basi kuna mwingine kapewa kingine ambacho mimi sina,” alisema.

 Mbali na uchekeshaji pia msanii huyo anauwezo mkubwa wa kuimba staili yoyote ikiwemo ya mashairi ambapo wimbo wake unasikika ni ule aliomjibu Mrisho Mpoto wa ‘Shangazi’, huku wa Mpoto ukiwa ni ‘Mjomba
The Boat that Rocks Party Cruise.
Watch the entire city’s New Year fireworks from the Indian Ocean.

Venue: Sanjeeda (Indian Ocean)
Date: Sat 31st December
Time: 19:00Hrs – 1:00Hrs
Damage: 90 $ Per Person (Inclusive of Food & Drinks!)
Dress Code: frosty sexy
Tickets available at Indian Ocean Choices Ltd (Slipway)
Info: 0768 000 444
The much-anticipated COMEDY CLUB: LIVE IN KAMPALA is here and set to air on M-Net East on DStv in January 2012. The popular show has previously been filmed in Lagos and Mombasa and is now set to showcase world-class talent in Uganda. COMEDY CLUB: LIVE IN KAMPALA is an M-Net Africa production that profiles comedians, and offers them a wider television platform to demonstrate their talent as stand-up comedians. COMEDY CLUB: LIVE IN KAMPALA invited comedians to Kampala from Uganda, Zambia, Tanzania, Kenya and Rwanda to come show their skill throughout the 13 episodes of the series. The show, hosted by popular Ugandan talent Gaetano Kagwa of Big Brother fame, provides an hour of entertainment for the live venue audience as well as the viewer at home. After the comedians perform, they’re invited to sit down for an interview with Gaetano. DStv audiences can also look forward to a live band performance by Magic Hornz to entertain the audience. Two comedians will perform during each episode - the first is usually an up-and-coming comedian while the other is a well-known, established comedian. Look out for performances by Ugandan comedians Bright Amanya, Deo Ojambo, Cotilda, St. Freak, Anne Kansiime, Tindi, Conan, Bob Nuwagira, Sam Okello, Daniel Omara, Patrick Idringi, Kiziito Makanga, Alex Muhangi, Mendo Herbert Segujja, Emmanuel Sebakaje, Prince Ehmah and Pablo Kimuli. Upcoming shows will also feature British comedian Kevin J; JB, John Kibet, Sande Bush, Othol Othuol and Maurice Ochieng (Kenya); Bob Nkosha from Zambia; Herve Kimenyi from Rwanda and Tanzanian Evans Bukuku. Also featured are Daniel Omara, Patrick Idringi, Alex Muhangi and Pablo Kimuli, comedians who participated in M-Net comedy series Stand Up Uganda. “M-Net is committed to creating quality African programming and with COMEDY CLUB: LIVE IN KAMPALA we are pleased to once more showcase the talent and abilities of the continent’s finest and funniest performers,” says M-Net Africa Managing Director Biola Alabi. COMEDY CLUB LIVE IN KAMPALA premieres on Monday 2 January at 20:00 CAT on M-Net East (DStv Channel 101). For news and information on COMEDY CLUB: LIVE IN KAMPALA,
Monday, December 19, 2011
Jina la wimbo huu mpya kutoka kwa Diamond linaweza kukushtua kidogo hususani kama wewe ni mfuatiliaji wa habari za kwenye luninga,magazetini na bila shaka kwenye blogs na social networks zingine ambako mengi hujiri siku hizi! Ila kama hufuatilii basi ntakupa kiduchu…Diamond ni mpenzi wa Wema Sepetu.At least hivyo ndivyo inavyojulikana miongoni mwa wengi kupitia “live” screens za magazetini nk.Sasa wiki hii kumekuwepo na dodoso lukuki kwamba Diamond hayupo tena na Wema na kahamishia mahaba yake kwa Jokate Mwegelo,mlimbwende,mshehereshaji na pia fashion designer.Aliyetoa “siri” ni Wema Sepetu mwenyewe kupitia kipindi cha Zamaradi cha Take One pale Clouds TV.

 Wakati yote hayo yanajiri,wimbo mpya wa Diamond unaingia sokoni.Unaitwa NIMPENDE NANI?Ni kutoka katika album aliyoiingiza sokoni hivi karibuni inayokwenda kwa jina Lala Salama. A coincidence? Kali zaidi ni maneno yaliyopo katika wimbo huu.In case unajiuliza ulitungwa lini,ninachoweza kukwambia ni kwamba ulitungwa muda mrefu.Sasa iweje uwe kama vile unaendana na matukio ya sasa,go figure out!Usikilize

Thursday, December 15, 2011


Kwa story za juu juu nilizozipata ni kuwa wakati Diamond akishoot video ya mawazo na mwanadafada Jokate, walifanya ile kitu ya amri ya sita tulionyimwa mpaka tuoe na kuolewa, na wema sepetu aliwafuma wakilana denda live katika eneo hilo...sina uhakika zaidi lakini haya ni maneno na sauti ya wema akiongelea swala hilo
Mwanamuziki Afande Sele ambaye alishawahi kuwa bingwa wa Rymes mwaka 2003 ,yuko katika harakati za mwisho mwisho kuachia albamu yake mpya ambayo itakuwa ni ya tano.Albamu hiyo ambayo ameibatiza kwa jina Kingdom ina nyimbo 12 na kati ya nyimbo ambazo ziko katika albamu yake hiyo ni Kingdom,Fukara,Hafirisiki,Simba Dume,Binaadamu n.k...
PROFESSOR JAY & DIAMOND PLATNUMZ LIVE in MILTON KEYNES, FRI 16Th Dec 2011@ The GOLDEN LOUNGE,Unit 35,Barton Road, Bletchley, Milton Keynes, mk2 3uh. DON'T MISS IT !!! PARTY WITH THE STARS TILL 5AM. saturday the 17th dec 2011 they will perform @ PITSTOP-[SHIP AND SHOVEL ] (kwa abu) -RIPPLE ROAD -BARKING IG11 0SN Please call Ayoub 07960811614, Banks 07984854718 for more details WE ALSO WANT TO THANK ALL OF YOU WHO SUPPORTED US ON OUR FIRST SHOW.LEO TUNAFANYA KWELI MPAKA CHE Sponsors:Safina Kassu promotions,Mama A records and BEN TV sky 184 (ayoubmzee.blogspot.com) COME AND ENJOY TANZANIA @ 50 IN STYLE
Monday, December 12, 2011
Wanamuziki wa kundi la Tip Top Connection la jijini Dar es Salaam wakitoa burudani katika tamasha maalum la kusherehekea miaka 50 ya Uhuru liloandaliwa na kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo katika Ufukwe wa Coco beach jijini Dar es Salaam juzi.

Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Balozi PETER KALLAGHE katikati akiwakaribisha wanamuziki wa Tanzania,Ally Kiba kutoka kushoto Diamond na Profesa Jay kulia , wanamuziki hao wapo nchini Uingereza katika ziara ya kimuziki. WATU WA COVENTRY , LEICESTER NA MILTON KEYNES MKAE MKAO WA KULA VIJANA WANA KUJA KUFANYA MAMBO HUKO
                        Kaka Diamond nae alifunika bovu kwa staili zake za kucheza.
                                                   Ally Kiba akitumbuiza
Profesa Jay hayupo pichani mashabiki walimzimia kwa mashahiri yake kama wanavyoonekana katika picha wakifuatilia onyesho hilo.
Palikuwepo na onyesho la ngoma na minenguo ya ki Tanzania kama wanavyoonekana katika picha wasanii hawa wakicheza ngoma za asili za Tanzania.
Sunday, December 11, 2011
THE STORY: Chief Mkwawa was an African hero. A great military strategist, he fought and won a historical battle against the German colonizers in Lugalo in 1891. Seven years later he committed suicide rather than be captured by the Germans who later beheaded his body and took his skull to Germany where it was stored in a museum up until 1954. Chief Mkwawa’s story is full of intrigue, suspense, glory filled victories and agonizing defeats is one of the most important in the African fight against colonialism and western imperialism. MAIN CAST (1) Chief Mkwawa – Mutaju Isaac Marobhe A teacher at the Ardhi institute, this was his first film role and perfectly embodied the spirit of Mkwawa. (2) Munyigumba (Chief Mkwawa’s father) – Fredrick Nkwera (3) Tom Von Prince (German Soldier and Mkwawa’s nemesis) – Paul Clithero A member of the Little Theatre Players he is a veteran of the stage, who along with his wife owns a string of bookshops in Tanzania. (4) Young Mkwawa – Godfrey Angelos Augustina (5) Commander Emil Zelewski (German commander killed at the Lugalo war) – Doug Bramsen Another member of the Little Theatre Players, he brings talent and wit to the stage and to film roles. He is father of four, whose whole family is involved in the theatre. (6) Kilemganga (Mkwawa’s sister) – Asha Ramadhan (7) Mwambambe (Mkwawa’s brother in Law) – Ian Balegele (8) Magdalene Von Prince – Sarah Scott A producer herself, she has had roles in BBC productions as an actress and plays a small pivotal role in the Mkwawa documentary. SHUJAA WA MASHUJAA MAIN CREW Producer/Director – Seko Tingitana Managing Director of Alkemist Media, she has over 12years of experience in Tanzanian media. As a Producer, she has a keen sense of what resonates with an audience. During her tenure as Head of Programming at East Africa Television (2005 – 2008) she oversaw the inception and production of milestone shows such as 5 Live!, Ze Comedy, Friday Night Live and Nirvana. Since she started Alkemist Media in 2008, she has been instrumental in getting Tanzanian stories on international television screens, producing news stories for CNN international, ABC networks in the US and the BBC in the UK. She has a Finance and Media background, graduating from Marymount Manhattan College in New York City with a Bachelor in Science. Director Of Photography/ Camera – David Sevuri Managing Director of True Vision Production, David has been active on the Tanzanian media scene since 1995. For the past 16 years he has produced and directed various projects for local and foreign entities including The History Channel, CNN International, Local Tanzanian Ministries and NGOs, ITV as well as worked on feature films including winning “Best Cinematography” at the Risasi awards. Production Manager – Josiah Murunga Josiah Murunga is a veteran of Tanzania Media having worked at Clouds Fm, East Africa radio and eventually as a production manager at East Africa Television. He was the Production manager for the channel and also produced the critically acclaimed ‘Planet Bongo” and many live productions. Apart from his work on the Mkwawa documentary he also produces the hit talk show for FEMA. Editor - Nick Marwa Nick Marwa has over a decade of experience editing documentaries and television shows and brings his unique training and experience to the Mkwawa documentary. He has worked for Reel to Real productions and East Africa Television amongst others. Post-Production and special effects manager – Momose Cheyo American trained Momose, was responsible for making the documentary come together. He coordinated the battles, all of the special effects and post-production look and feel of the documentary. An expert at Adobe “after effects”, “colorista” and other post-production programs, he brought the documentary to life. The production: After three months of intense research and another two months of writing the script, the crew built a Hehe village in Kibaha, where they shot the principal photography. They then moved to Iringa where they finalized the rest of the shots against the staggeringly beautiful Iringa landscape, making the documentary as authentic as possible. Interesting fact: The Mkwawa death scene was actually shot at the exact place where Mkwawa died and where he is buried today in Mlambalasi, Iringa.
Huu ni wimbo mpya aliotoa Ben Pol kama zawadi ya Xmass kwa mashabiki wake, wimbo huu umetengenezwa katika studio ya MLab producer akiwa ni Duke na Kanye. Maana ya wimbo huu Samboira ni Jichunge.

                                Ben Pol - Samboira
 


NG'OMBE / BOB JR FEAT LADY JAY DEE


kiwa ni muendelezo wa Nipeni deal, Ngwea na Dark master wameachia pini linaloitwa WASHAMBA, kutoka Mor reacords, Mwanza chini ya producer Q
Wednesday, December 7, 2011







Video and Image Credit: DJ CHOKA
Saturday, December 3, 2011
 
Solo Thang,one of the legendary Bongo Fleva artists is getting ready to release his highly anticipated new album “” I AM TRAVELLAH Vol 1″ which if all goes well will be out in January 2012. So far, he has released about four tracks from that album. He is now releasing his 5th and last track from the same album titled UWEZO MIA MIA” In this track he collaborates with Godzilah one of the super fast ladder climbing young MC in Bongoland.Listen
SONG TITLE: UWEZO MIA MIA
 
ARTISTS: SOLO THANG ft GODZILAH
 ALBUM: I AM TRAVELLAH VOL 1)
 STUDIOS: DE FATALITY,(MESSAN), ROOF RECORDS (TONNY),DIGITAL BEATS (YOHANCE ALLEN)
Mwanamuziki wa Kimataifa kutoka nchini Congo,Fally Ipupa akiwa ameongozana na wenyeji wake wakati alipowasili jijini mchana wa leo tayari kwa shoo moja ya Usiku wa Mwafrika mahsusi kwa Wadau wa Club E itakayofanyika usiku wa leo kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar.





Fally Ipupa akiondoka uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere baada ya kuwasili uwanjani hapo leo kwa ajili ya shoo ya Club Embassy.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini kutoka kundi la Hot Pot Family, Soggy Doggy asema, ‘’sitarajii kutoa albam kutokana na gharama za kuiandaa kua kubwa na pindi iwapo sokoni faida haionekani kwani wahindi wanatunyonya’’. Msanii huyu alitamba na nyimbo zake za awali kama vile“Kibanda cha simu”, “Nilikaona mwaka jana” pamoja na “Nimchague nani”, zinazopatikana kwenye albam zake tatu alizowahi kuzifanya kipindi cha nyuma.Kwa sasa Soggy anatarajia kuachia nyimbo yake mpya hivi karibuni ambayo ipo mikononi mwa produza P.Funky Majani katika studio za Bongo Records, hivyo mashabiki wa Soggy Doggy pamoja naHotpot Family mnaombwa kukaa tayari kuipokea kazi hiyo mpya.
Wanaharakati wa muziki wa kizazi kipya (Anti virus), wako mbioni na ziara yao ya kimuziki inayotarajiwa kufanyika baada ya wiki mbili mkoani mbeya ,ambapo kiongozi wa kundi hilo Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a MR II, mbunge wa jimbo la mbeya Mjini anatokea.Baada ya show hiyo, wanatarajia kuendelea katika mikoa mingine nchini Tanzania ili kuwapa burudani mashabiki wao na kutetea haki za wasanii wa muziki wa kizazi kipya. Vilevile baada ya kumaliza show zote nchini Tanzania wanatarajia kufanya show South Afrika ambayo itakua ni mwakani mwezi hujao..
Ndugu wenzangu usiku wa jana, kuna ujumbe wa kusikitisha sana ya kwamba Abel Motika a.k.a Mr. Ebbo ambae ni msanii na pia ni producer wa muziki katika studio yake ya Motika Records mjini Tanga ameaga duniani,taarifa zilizopatikana kwa jirani yake wa Mr.Ebbo amesema kuwa alikuwa anaumwa na alikuwa amelazwa hospitali ya Mount Meru na usiku ndipo alifunga ukrasa wake wa maisha na safari yake ya kuishia ndio ulifika mwishoni mwa jana saa 5 usiku.

Ehee...Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi ,Amen

Ni Hii Ndio Nyimbo Yake Ya MI MMASAII
 
Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Sam Wa Ukweli, anashukuru management mpya ya Aljazeera Entertainment kwa kusimamia kazi zake kwa sasa,ambayo hapo awali ilikuwa inasimamia kazi za Diamond. Akiongea na DarTalk Sam alisema ‘’Ninamshukuru Mungu kwa kuwa chini ya Menejimenti ya Aljazeera Entertainment, natarajia kuachia albam yangu ya pili hivi karibuni ambayo ndani yake kutakua na wasanii wakali ambao wananipa sapoti, kama vile Linex, Barnaba, Linah, Kidumu kutoka kenya pamoja na wasanii wengine kibao’’. Vilevile aliendelea kusema anatarajia kuachia nyimbo mbili kila mwaka ambazo ni kali, hivyo anaomba mashabiki wake kukaa tayari kwa kuipokea albam hiyo pamoja na video. Msanii huyo anatamba na nyimbo zake kali kutoka kwenye albam yake ya kwanza ambazo ni ‘Sina raha’ pamoja na ‘Hata kwetu wapo’, nyimbo zilimtambulisha vizuri kwenye gemu la muziki wa kizazi kipya.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

CONTACT US

Lukata Willy,
BK,
Houston TX,
U.S.A

Tel:
832-859-6047
E-Mail:
lukatawilly@ymail.com
http://angrybirdsgamer.com

Total Pageviews

NEW EAST AFRICA SONG



Lukata Willy

Lukata Willy
ITS NOT WHAT YOU HAVE IN YOUR LIVE, BUT WHO YOU HAVE IN YOUR LIFE THAT COUNTS

FOLLOWER US ON

BONGOFLAVA

Like Us on Facebook

COUNTRY VISIT MY WEB

Home

Create by Bongotrack. Powered by Blogger.

BLOG FANS