Tuesday, December 27, 2011
Wimbo unaitwa Taking Ova.Umetengenezwa pale Dhahabu Records chini ya Producer anayekuja juu sana anayekwenda kwa jina Mbezi.Sikiliza Taking Ova hapa chini;
Wednesday, December 21, 2011
Alisema kupitia Komedi ameweza kujenga nyumba ya kuishi na kuwa na usafili wake vitu ambavyo awali hakujua kama angeweza kuvipata ingawa malengo yake yalikuwa ni kuja kumiliki vitu hivyo pamoja na kuishi ndani ya nyumba yake.
Alisema hata hivyo bado anahitaji kutoka zaidi kimaisha ingawa kwa sasa amefakiwa kwa kiasi fulani kitu ambacho kila siku amekuwa akimshukuru mungu kwani kumpa kwani wapo wengine wamekosea.
“Komedi ni fani ngumu sana kwani kumfanya mtu aliyenuna acheke siyo kitu kidogo hivyo hata tuna magari basi tumshukuru mungu kwani ametupa vipaji kwa malengo yake, lakini naweza kusema kwamba kama mimi nimepewa hiki basi kuna mwingine kapewa kingine ambacho mimi sina,” alisema.
Mbali na uchekeshaji pia msanii huyo anauwezo mkubwa wa kuimba staili yoyote ikiwemo ya mashairi ambapo wimbo wake unasikika ni ule aliomjibu Mrisho Mpoto wa ‘Shangazi’, huku wa Mpoto ukiwa ni ‘Mjomba’
Watch the entire city’s New Year fireworks from the Indian Ocean.
Venue: Sanjeeda (Indian Ocean)
Date: Sat 31st December
Time: 19:00Hrs – 1:00Hrs
Damage: 90 $ Per Person (Inclusive of Food & Drinks!)
Dress Code: frosty sexy
Tickets available at Indian Ocean Choices Ltd (Slipway)
Info: 0768 000 444
Monday, December 19, 2011
Wakati yote hayo yanajiri,wimbo mpya wa Diamond unaingia sokoni.Unaitwa NIMPENDE NANI?Ni kutoka katika album aliyoiingiza sokoni hivi karibuni inayokwenda kwa jina Lala Salama. A coincidence? Kali zaidi ni maneno yaliyopo katika wimbo huu.In case unajiuliza ulitungwa lini,ninachoweza kukwambia ni kwamba ulitungwa muda mrefu.Sasa iweje uwe kama vile unaendana na matukio ya sasa,go figure out!Usikilize
Thursday, December 15, 2011
Kwa story za juu juu nilizozipata ni kuwa wakati Diamond akishoot video ya mawazo na mwanadafada Jokate, walifanya ile kitu ya amri ya sita tulionyimwa mpaka tuoe na kuolewa, na wema sepetu aliwafuma wakilana denda live katika eneo hilo...sina uhakika zaidi lakini haya ni maneno na sauti ya wema akiongelea swala hilo
Monday, December 12, 2011
Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Balozi PETER KALLAGHE katikati akiwakaribisha wanamuziki wa Tanzania,Ally Kiba kutoka kushoto Diamond na Profesa Jay kulia , wanamuziki hao wapo nchini Uingereza katika ziara ya kimuziki. WATU WA COVENTRY , LEICESTER NA MILTON KEYNES MKAE MKAO WA KULA VIJANA WANA KUJA KUFANYA MAMBO HUKO
Sunday, December 11, 2011
Wednesday, December 7, 2011
Video and Image Credit: DJ CHOKA
Saturday, December 3, 2011
ALBUM: I AM TRAVELLAH VOL 1)
STUDIOS: DE FATALITY,(MESSAN), ROOF RECORDS (TONNY),DIGITAL BEATS (YOHANCE ALLEN)
Ni Hii Ndio Nyimbo Yake Ya MI MMASAII
Monday, November 28, 2011
Na Mwandishi wetu
Hatimaye lile tamasha lililokuwa linasubiriwa kwa hamu kubwa la Street University linafanyika leo (Jumapili) kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ambapo wasanii wa muziki wa injili na kizazi kipya Bongo akiwemo Bonny Mwaitege, Abass Hamis Kinzasa ‘20%’, Glorious Singers, Dot Com Generation na wengine wengi watamfungulia pazia mjasiriamali wa kimataifa na mzungumzaji wa kutia hamasa (motivational speaker), Eric Shigongo atakayekuwa mtoa mada kwenye tamasha hilo.
Shigongo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Global Publishers and General Enterprises, atafundisha namna ya kupata wazo la kibiashara, jinsi ya kukuza mitaji, kupata mikopo benki, kujikwamua kimaisha kupitia ujasiriamali na mada nyingine nyingi sambamba na mtoa mada mwenzake, James Mwang’amba kwenye tamasha hilo litakaloanza saa tano asubuhi na kumalizika saa 12 jioni.
Kwa mujibu wa mratibu wa tamasha hilo, James Mwang’amba tiketi zinapatikana Arusha kwenye Supamaketi ya Shoprite, Summit Centre, Cordial Tours, Hoteli ya Acquiline, Kasi Store, Hoteli ya Kibo Palace na uwanjani (Sheikh Amri Abeid) kwa shilingi elfu tano tu.
Wadhamini wa tamasha hilo ni Kampuni ya Global Publishers Ltd, Malta Guinness, Airtel, Azania Bank, Mfuko wa Pensheni ya Watumishi wa Umma (PSPF), Wauzaji na wasambazaji wa vipodozi asili wa Oriflame, Hoteli ya Corridor Springs ya Arusha, Chama cha Wafanyakazi wa Viwanda, Wafanyabiashara na Wakulima (TCCIA) na Hoteli ya Kibo Palace ya jijini Arusha.
Wadhamini wengine ni Tripple A Radio (88.5 FM), Sunrise Radio (94.8 FM), Mambo Jambo Radio (93.0 FM), Radio 5 (105.7FM) na Sauti ya Injili Radio (92.2/96.2 FM) zote za jijini Arusha.
Saturday, November 26, 2011
Miezi kadhaa nyuma niliwahi kuuliza swali kuhusu nani aliye zaidi katika ya Steven Kanumba na Ray Kigosi.Mashabiki na wafuatiliaji wa Bongo Movies mkatoa ushirikiano mkubwa na kueleza bayana yule ambaye mnadhani ni zaidi ya mwenzake.Mpaka leo hii bado comments kuhusu hoja ile bado zinaendelea.Hiyo,kwa upande mwingine,inaonyesha ni kwa jinsi gani watu zaidi wanafuatilia sanaa ya filamu nchini Tanzania.Ni jambo zuri.
Leo naomba tuhamie kidogo upande wa waigizaji wa kike kwani ni wazi kabisa na wao wanafanya vizuri sana katika kuendeleza fani hii ambayo kwa miongo kadhaa ilipewa kisogo.Mchango wao ni dhahiri.Hapa naomba niwaweke “kikaangoni” Monalisa (Yvonne Cherryl) na Blandina Chagula maarufu kama Johari. Bila shaka umeshawahi kuwaona katika uigizaji wa aina mbalimbali.Endapo ungekuwa na filamu yako na ukawa unatafuta mwigizaji wa kike(lead actress) ungemchagua nani katika ya Monalisa au Johari.Kwa ufupi unadhani nani zaidi kati yao?Kwanini?
Johari
Leo naomba tuhamie kidogo upande wa waigizaji wa kike kwani ni wazi kabisa na wao wanafanya vizuri sana katika kuendeleza fani hii ambayo kwa miongo kadhaa ilipewa kisogo.Mchango wao ni dhahiri.Hapa naomba niwaweke “kikaangoni” Monalisa (Yvonne Cherryl) na Blandina Chagula maarufu kama Johari. Bila shaka umeshawahi kuwaona katika uigizaji wa aina mbalimbali.Endapo ungekuwa na filamu yako na ukawa unatafuta mwigizaji wa kike(lead actress) ungemchagua nani katika ya Monalisa au Johari.Kwa ufupi unadhani nani zaidi kati yao?Kwanini?
Wapenzi wa tazamaji wakisubiri kwa hamu onyesho hilo kuazarasmi ndani ya ukumbi wa Rendezvous mitaa ya Parklawn Dr, Rockville Maryland U.S
Subscribe to:
Posts (Atom)
Blog Archive
- 2012 (19)
-
2011
(124)
-
December(28)
- “TAKING OVA”-BLACK RHINO Feat.SOPRANO(BRAND NEW TR...
- Timbulo - Waleo Wa Kesho (Official Video)
- Video Mpya: Dayna ft Barnaba - Nivute Kwako(Offici...
- “IELEWE MITAA”-FID Q(NEW VIDEO)
- ORIJINO KOMEDI IMENITOA KIMAISHA – MPOKI…!!
- THE FROST PARTY @ SANJEEDA (INDIAN OCEAN) – SAT 31...
- Tanzanian comedian to perform live in Kampala
- AUDIO TRACK: DIAMOND – NIMPENDE NANI
- WEMA: SIKUTEGEMEA NINGEMFUMA JOKATE NA MCHUMBA WANGU
- ALBAMU YA TANO YA AFANDE SELE YAKAMILIKA
- PROFESSOR JAY & DIAMOND PLATNUMZ LIVE
- Tamasha miaka 50 ya uhuru Coco Beach
- SHEREHE ZA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA UHURU LONDON UK
- MUSIC VIDEO: TMK WANAUME FAMILY – KICHWA KINAMUMA
- MUSIC VIDEO: FEROOZ FT SHOZ DEAR – NDEGE MTINI
- MUSIC VIDEO: OMMY DIMPOZZ FT ALI KIBA – NAI NAI
- MKWAWA - SHUJAA WA MASHUJAA
- NEW TRACK: Ben Pol "SAMBOIRA"
- PINI JIPYA: NG'OMBE / BOB JR FEAT LADY JAY DEE
- PINI JIPYA: NGWEA NA DARK MASTER
- THE MAKING OF DIAMOND’S NEW VIDEO “MAWAZO”…!!
- WAKALI SUKARI DVD LAUNCH @ CLUB BILICANAS – SUN 11...
- “UWEZO MIA MIA”-SOLO THANG Feat.GODZILAH
- Fally Ipupa awasili jiji la Dar es salaam
- KUANDAA ALBAMU NI GHARAMA KUBWA BORA SINGLE KALI -...
- ANTI VIRUS KUPELEKWA MIKOANI
- Tuna Sikitika Kumpoteza Mr.Ebbo
- ALJAZEERA ENTERTAINMENT KUSIMAMIA KAZI ZA SAM WA U...
- November(29)
- October(38)
- September(26)
- January(3)
-
December(28)
- 2010 (13)
CONTACT US
Lukata Willy,
BK,
Houston TX,
U.S.A
Tel:
832-859-6047
E-Mail:
lukatawilly@ymail.com
Total Pageviews
NEW EAST AFRICA SONG
Lukata Willy
BONGOFLAVA
Like Us on Facebook
COUNTRY VISIT MY WEB
Home
Create by Bongotrack. Powered by Blogger.