Saturday, December 3, 2011
Wanaharakati wa muziki wa kizazi kipya (Anti virus), wako mbioni na ziara yao ya kimuziki inayotarajiwa kufanyika baada ya wiki mbili mkoani mbeya ,ambapo kiongozi wa kundi hilo Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a MR II, mbunge wa jimbo la mbeya Mjini anatokea.Baada ya show hiyo, wanatarajia kuendelea katika mikoa mingine nchini Tanzania ili kuwapa burudani mashabiki wao na kutetea haki za wasanii wa muziki wa kizazi kipya. Vilevile baada ya kumaliza show zote nchini Tanzania wanatarajia kufanya show South Afrika ambayo itakua ni mwakani mwezi hujao..

0 comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

CONTACT US

Lukata Willy,
BK,
Houston TX,
U.S.A

Tel:
832-859-6047
E-Mail:
lukatawilly@ymail.com
http://angrybirdsgamer.com

Total Pageviews

NEW EAST AFRICA SONG



Lukata Willy

Lukata Willy
ITS NOT WHAT YOU HAVE IN YOUR LIVE, BUT WHO YOU HAVE IN YOUR LIFE THAT COUNTS

FOLLOWER US ON

BONGOFLAVA

Like Us on Facebook

COUNTRY VISIT MY WEB

Home

Create by Bongotrack. Powered by Blogger.

BLOG FANS