Saturday, December 3, 2011
Msanii wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini kutoka kundi la Hot Pot Family, Soggy Doggy asema, ‘’sitarajii kutoa albam kutokana na gharama za kuiandaa kua kubwa na pindi iwapo sokoni faida haionekani kwani wahindi wanatunyonya’’. Msanii huyu alitamba na nyimbo zake za awali kama vile“Kibanda cha simu”, “Nilikaona mwaka jana” pamoja na “Nimchague nani”, zinazopatikana kwenye albam zake tatu alizowahi kuzifanya kipindi cha nyuma.Kwa sasa Soggy anatarajia kuachia nyimbo yake mpya hivi karibuni ambayo ipo mikononi mwa produza P.Funky Majani katika studio za Bongo Records, hivyo mashabiki wa Soggy Doggy pamoja naHotpot Family mnaombwa kukaa tayari kuipokea kazi hiyo mpya.

0 comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

CONTACT US

Lukata Willy,
BK,
Houston TX,
U.S.A

Tel:
832-859-6047
E-Mail:
lukatawilly@ymail.com
http://angrybirdsgamer.com

Total Pageviews

NEW EAST AFRICA SONG



Lukata Willy

Lukata Willy
ITS NOT WHAT YOU HAVE IN YOUR LIVE, BUT WHO YOU HAVE IN YOUR LIFE THAT COUNTS

FOLLOWER US ON

BONGOFLAVA

Like Us on Facebook

COUNTRY VISIT MY WEB

Home

Create by Bongotrack. Powered by Blogger.

BLOG FANS