Saturday, September 3, 2011
Kutoka pande za Mwanza ndani ya Tetemesha Records kuna kijana ambaye bila hiana wala kwere,twaweza sema anafanya vizuri katika medani za muziki wa kizazi kipya.Anaitwa Sagna(pichani).Ana wimbo mpya unaokwenda kwa jina “Yamenishinda” ukiwa ni mwendelezo wa wimbo wake “Mganga”.

Je, ni kweli kwamba kuna dawa ya mapenzi?Ni kweli kwamba “karumanzira” anaweza kusababisha mshawasha wa mahaba ndani ya nyumba ukazidi? Kuna ukweli wowote kwamba “mzee wa busara” anaweza kusababisha fulani atoke kwa yule wake na aje kwako?Sijui ila ninachokumbuka ni kwamba gwiji la muziki nchini Tanzania,Hayati Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba kwamba Mapenzi Hayana Dawa.Msikilize Sagna kisha useme yaliyoko moyoni mwako.



CREDITS:
Track Name: YAMENISHINDA

Artist : SAGNA

written by: SAGNA, JOSEFLY & KID BWOY

arranged by: KID BWOY

Produced by: KID BWOY

Mixed by: KID BWOY

Studio: TETEMESHA RECORDZ SEPTEMBER 2011


0 comments:

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

CONTACT US

Lukata Willy,
BK,
Houston TX,
U.S.A

Tel:
832-859-6047
E-Mail:
lukatawilly@ymail.com
http://angrybirdsgamer.com

Total Pageviews

NEW EAST AFRICA SONG



Lukata Willy

Lukata Willy
ITS NOT WHAT YOU HAVE IN YOUR LIVE, BUT WHO YOU HAVE IN YOUR LIFE THAT COUNTS

FOLLOWER US ON

BONGOFLAVA

Like Us on Facebook

COUNTRY VISIT MY WEB

Home

Create by Bongotrack. Powered by Blogger.

BLOG FANS