Monday, March 5, 2012
Akifanya mahojiano maalumu na DarTalk kwa njia ya mtandao wa kijamii wa facebook, Ray C, alidai kuwa tangu alipofika nchini humo amekuwa akifanya mambo yake kwa umakini mkubwa kuliko alipokuwa Tanzania.
Ray C katika pose
Alisema kuwa hata hivyo kitu ambacho kinamsukuma endelea kuishi nchini humo ni kutokana na nafasi aliyonayo ya kuweza kujitangaza kimataifa kwani ni nchini ambayo wasanii wake wanafanya muziki unaendana na soko la kimataifa.
“Muziki wa Kenya huwezi kuufananisha na Tanzania hata wasanii wa huku wako juu sana na wanafanya kazi siyo kutupiana majungu kama baadhi ya wasanii wa Tanzania,” alisema.
Hata hivyo alipoulizwa ni lini atarudi nchini, alijibu “Dah sifikili kuja Tanzania kwa sasa kwa sababu nina mambo mengi ya kufanya ambayo yanahitaji nitulie kweli ili huko ni nyumbani nitakuja tu,”.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Blog Archive
-
2012
(19)
- June(3)
- May(3)
- April(3)
-
March(7)
- Jos Mtambo Ft. Belle 9 - Naongea na Roho
- Brand New Track by Young Chaliz ft Tunda Man - Kid...
- HERE WE GO AGAIN.......SINGLE BUTTON FOR URBAN GEN...
- Jaffarai ft Nazizi - Tembea Na Mimi
- NAFANYA MUZIKI KWA RAHA ZANGU HUKU KENYA SI KAMA B...
- BARNABA ANAMSAKA BINTI WAKUCHEZA KWENYE VIDEO YA M...
- Brand New SONG: Rich Mavoko - Follow Me
- January(3)
- 2011 (124)
- 2010 (13)
CONTACT US
Lukata Willy,
BK,
Houston TX,
U.S.A
Tel:
832-859-6047
E-Mail:
lukatawilly@ymail.com
Total Pageviews
NEW EAST AFRICA SONG
Lukata Willy
BONGOFLAVA
Like Us on Facebook
COUNTRY VISIT MY WEB
Home
Create by Bongotrack. Powered by Blogger.
0 comments:
Post a Comment